KISWHAILI LUGHA GRADE LA 7.

Institution JUNIOR SECONDARY SCHOOL
Course KISWHAILI LUGHA GRAD...
Year 1st Year
Semester Unknown
Posted By stephen oyake rabilo
File Type pdf
Pages 4 Pages
File Size 373.39 KB
Views 3003
Downloads 0
Price: Buy Now whatsapp Buy via whatsapp
  • whatsapp
  • facebook
  • twitter

Description

1. Soma kifungu kifuatacho kasha ujibu maswali. Fisi, sungura na ndozu walikuwa marafiki wa kuzikana. Kutokana na uwezo wao, kimapato, watoto wao walisomea katika shule ya mabweni ya mtepetevu. Wanafunzi wa shule hiyo walitembelewa na wazazi wao. Takribani kila mzazi alimbebea mwanawe chakula isipokuwa sungura. Walifanya hivyo licha ya kuwa watoto walirudi shuleni siku chache zilizopita. Mkutanoni wazazi walizozana kuhusu maankuli shuleni siku, mavazi na hata mitindo ya nywele ya wanawao. Fisi na ndovu walikua mstari wa mbele kutaka wana wao wapewe mapocho pocho. Wanyama wengi walikua na wanao shule hiyo hawakuzingatia sana juhudi za wanao masomoni, kinyume na kawaida yao. Hata hivyo wengine waliona mbele wakapinga, udekezaji huo. Mazozano ulipokuwa ukipamba moto, mwanawe Sungura aliyekuwa akivaa kilalahoi aliingia mkutanoni. Baadhi ya wanyama walipomwano walishindwa kwani mkutano ulikuwa ni wa wazazi. Kijana aliketi na kuwasikiliza. Fisi alisimama na kusema. “Hatuelewi ni kwa nini watoto wetu hawali nyamachoma, kima kwa hapati. Tunalipa! Kwa nini wale bure na ugali tu?” Kijana wa sungura alisimama na kusema, “Hoja mnazotoa si…….” Baadhi ya wazazi wanakadakia na kusema. “We nyamaza u motto kazi ni kunyamaza na kuwapasa ujumbe wazazi wako baadaye.” Alipoulizwa
Below is the document preview.

No preview available
JSS MWONGOZO WA TAMTHILIA YA WEMA HAUOZI YA TIMOTHY AREGE Trending!
Jinyakulie nakala yako ya JSS MWONGOZO WA TAMTHILIA YA WEMA HAUOZI YA TIMOTHY AREGE kwa uchambuzi mwafaka wa kitabu hiki. Maelezo ni ya kina na upana wa kurahisisha marudio yako mwafaka.
19 Pages 2455 Views 1 Downloads 1017.43 KB
MBINU ZA UANDISHI KATIKA TAMTHILIA YA WEMA HAUOZI Trending!
Mwandishi ametumia methali katika sehemu mbalimbali katika tamthlia. Anwani ya tamthlia Wema hauozi ni methali yenye maana kwamba upo wakati ambao wema hushinda uovu na kung’aa.
5 Pages 2410 Views 0 Downloads 226.8 KB
WAHUSIKA KATIKA TAMTHILIA YA WEMA HAUOZI Trending!
Wahusika Wakuu - hawa ni wahusika ambao wanahusishwa na takribani visa vyote katika riwaya/tamthilia. Wahusika huhusishwa kutoka mwanzo hadi mwisho.
5 Pages 2266 Views 0 Downloads 237.24 KB
Wema Hauozi Uchambuzi Wa Jalada Trending!
Jalada ni sehemu iliyoko juu ya kitabu Huwa ni mambo yaliyo muhtasari wa kile msomaji anataraji ndani. Jalada huwa kuwili yaani, jalada la mbele na la nyuma. Kunavyo vipengele muhimu hasa rangi za michoro na maandishi.
4 Pages 2540 Views 1 Downloads 146.72 KB
Mshale Wa Matumaini Setbook PDF Trending!
Get the pdf or softcopy version of the JSS setbook Novel MSHALE WA MATUMAINI.
72 Pages 2388 Views 5 Downloads 1.42 MB
TERM 3 GRADE 7 RATIONALIZED CRE SCHEME OF WORK 2025 Trending!
TERM 3 GRADE 7 RATIONALIZED CRE SCHEME OF WORK 2025
2514 Views 1 Downloads 28.23 KB
TERM 3 GRADE 7 RATIONALIZED MATHEMATICS SCHEME OF WORK 2025 Trending!
TERM 3 GRADE 7 RATIONALIZED MATHEMATICS SCHEME OF WORK 2025
2373 Views 0 Downloads 44.77 KB
TARGETER WINGS 007 GRADE 8 COMBINED EXAMS WITH MARKING SCHEME Trending!
Download a copy the exclusive TARGETER WINGS 007 GRADE 8 COMBINED EXAMS WITH MARKING SCHEME attached, it contains all the subject areas taught in grade 8. This is a great assessment tool for your learners and even for their revision purposes. Get a copy today!
79 Pages 3768 Views 7 Downloads 33.38 MB
GRADE 9 RATIONALIZED KISWAHILI SCHEMES OF WORK TERM 3 Trending!
Download a copy of the JSS GRADE GRADE 9 RATIONALIZED KISWAHILI SCHEMES OF WORK TERM 3 for effective teaching preparation. Perfect resource for term planning and curriculum delivery. Ideal for educators and teachers.
14 Pages 2648 Views 0 Downloads 372.13 KB
TARGETER WINGS 007 GRADE 7 2025 EXAM PAPERS WITH MARKING SCHEMES
Targeter wings Grade 7 007 2025 Junior secondary school assessment questions with answers complete set. Learning areas included: mathematics, social studies, intergrated science, agriculture and nutrition, physical education, pre-technical studies, religious education, creative arts and sports, Kiswahili PP1,PP2 and English PP1, PPP2
76 Pages 1304 Views 8 Downloads 40.96 MB