ushairi
| Institution | University |
| Course | KISWAHILI |
| Year | 8th Year |
| Semester | Unknown |
| Posted By | Muriithi Anderson |
| File Type | docx |
| Pages | |
| File Size | 168.26 KB |
| Views | 125 |
| Downloads | 0 |
| Price: |
Buy Now
|
Below is the document preview.
USHAIRI ANDISHI NOTES
Ushairi unaweza kuwa kipera cha fasihi simulizi (nyimbo) na pia katika fasihi andishi kwa sababu mashairi yanaweza kuwasilishwa kwa njia ya kukariri na pia kwa njia ya maandishi. Mashairi yanayoghanwa badala ya kuimbwa huitwa maghani.
33 Pages
1515 Views
1 Downloads
90.46 MB
MWONGOZO WA USHAIRI
Hizi ni insha za kubuni; yaani insha ambazo hazifuati utaratibu maalumu jinsi ilivyo katika insha za kiuamilifu. Insha za kubuni hazitumiki katika miktadha rasmi kama zilivyo tungo za kiuamilifu. Hii ndiyo sababu hazina muundo maalumu wa kufuata wakati wa kuziandika. Insha za kawaida ambazo zimeshughulikiwa katika surah ii ni insha ya maelezo, mawazo, mdokezo, methali. Mazungumzo na masimulizi.
111 Pages
306 Views
0 Downloads
1.17 MB
USHAIRI WA KISWAHILI KATIKA NJIA PANDA
Makala hii inahakiki mabadiliko ya kimtindo katika utunzi na uwasilishaji wa ushairi wa kiswahili.
28 Pages
224 Views
0 Downloads
153.63 KB