Kiswahili Notes

Institution Primary
Course KCPE
Year 1st Year
Semester Unknown
Posted By Michael Paul
File Type pdf
Pages 163 Pages
File Size 582.16 KB
Views 277
Downloads 0
Price: Buy Now whatsapp Buy via whatsapp
  • whatsapp
  • facebook
  • twitter

Description

Simplified notes
Below is the document preview.

No preview available
BEC 3102; INTERATED KISWAHILI NOTES Trending!
Lugha yoyote ile ni lazima ipanuke ili iweze kukidhi mahitaji ya kila siku ya jamii husika .Kupanuka tunakorejelea ni kuongezeka kwa maneno katika lugha husika.Kama lugha haitaunda maneno kwa kasi inayohitajika huenda “ife”.Watalaamu wa lugha(wanaisimu) huchunguza utaritibu unaotuniwa na lugha kujiongezea maneno.Wanaisimu huichunguza lugha katika viwango mbalimali;sauti,maneno,sentensi,maana,matumizi na hata diskosi.Kazi hii itajikita katika kiwango cha maneno(mofolojia)na sentensi(sintaksia).Viwango vingine vitashughulikiwa katika sehemu zingine za msululu wa vitengo vya kozi hii.
66 Pages 2576 Views 0 Downloads 211.77 KB
GREDI YA KWANZA: KISWAHILI NOTES & QUESTIONS Trending!
Download a copy of CBC Grade 1 Kiswahili Notes and Questions booklet.
86 Pages 2798 Views 2 Downloads 186.02 KB
GRADE 1 KISWAHILI NOTES Trending!
Looking for comprehensive Grade 1 kiswahili notes? Find detailed resources and study materials to excel in your French studies. Perfect for teachers and students seeking high quality content.
127 Pages 3554 Views 1 Downloads 1.36 MB
GRADE 9 KISWAHILI NOTES Trending!
COMPREHENSIVE NOTES
52 Pages 2843 Views 1 Downloads 1.01 MB
JSS Kiswahili Notes:Matini angavu ya Sarufi ya Junia Trending!
Nakala hii ina matini angavu ya Sarufi ya Junia kuanzia gredi ya saba hadi gredi ya tisa. Waama, matini haya yamepangwa na kuandaliwa kwa utondoti. Hivyo imemrahisishia mwalimu kazi na kuokoa muda wa kuandika matini.
36 Pages 2245 Views 11 Downloads 1.04 MB
MOFOLOJIA YA KISWAHILI NOTES
Mofolojia ni taaluma ya isimu inayoshughuliki muundo wa maneno. Ni taaluma inayoshughulikia vipashio vya lugha na mpangilio wake katika uundaji wa maneno.
52 Pages 1966 Views 1 Downloads 617.89 KB
SARUFI ZA KISWAHILI NOTES
Sarufi nimfumo na kanuni za lugha zinazomwezesha mtumiaji wa lugha kuitumia lugha husika kwa usahihi. Mfumo huo humwezesha mzungumzaji kutunga sentensi zisizo na kikomo ambazo hukubalika na wazawa wa lugha wanaoifahamu lugha hiyo barabara. Hivyo ni dhahiri kwamba kila lugha ya mwanadamu huwa na mpangilio na sheria zinazoilinda ili kuifanya kuwa toshelevu na sanifu, na uzingatiwaji wa kanuni na taratibu hizo kwa mtumiaji humfanya na kumtambulisha kama mmilisi wa lugha hiyo.
19 Pages 1927 Views 0 Downloads 220.59 KB
DPTE KISWAHILI NOTES
Pijini ni aina ya lugha inayojitokeza panapotokea mpangusano au mwingiliano wa watuwanaozungumza lugha tofauti. Pijini haina wazungumzaji asilia. (Pidgin is a language having nonative speakers. It’s used by two populations having no common language “lingua franca”).
89 Pages 1132 Views 3 Downloads 520.84 KB